Jukwaa la Michezo
Changamoto inayokabili mashindano ya klabu bingwa Afrika mashariki na kati CECAFA 2011
Imechapishwa:
Cheza - 19:31
Waandishi wa makala hii, juma hili wameangazia mashindano ya klabu bingwa Afrika Mashariki na Kati CECAFA, mashindano yanayotarajiwa kuanza kutimua vumbi nchini Tanzania katika jiji la Dar es Salaam.