-
Ziara ya rais wa Marekani Barack Obama nchini Kenya, tume ya uchaguzi nchini Burundi kumtangaza Nkurunziza kama mshindi wa uchaguzi wa hivi karibuni.
-
CCM kumpata John Pombe Magufuli kama mgombea wa urais kuelekea Uchaguzi Mkuu, maandamano kupinga muhula wa3 kwa rais Nkurunziza kuendelea nchini Burundi
-
Uturuki: mashambulizi mapya dhidi ya waasi wa PKK Iraq
-
Afghanistan: zaidi ya askari polisi 100 wajisalimisha