-
Wabunge wawili wajeruhiwa nchini Libya wakati raia mmoja wa Ufransa akipigwa risase jijini Benghazi
-
Kesi ya bingwa wa michuano ya Olympiki ya walemavu Oscar Pistorius yaendelea kurindima nchini Afrika Kusini
-
Korea Kusini yakemea jaribio la kurushwa kwa makombora mawili na Korea Kaskazini na kudaikuwa ni uchochezi
-
Uganda yasema bajeti yake ya mwaka huu 2014 haitaathirika iwapo mataifa ya magharibi yatasitisha msaada
-
Boko Haram watekeleza mauaji ya watu zaidi ya hamsini kaskazini mwa Nigeria
-
Serikali ya Urusi imeendelea kutolewa wito wa kuondowa majeshi yake nchini Ukraine, huku ikitishiwa kutengwa na Jumuiya ya Kimataifa
-
Catherine Samba Panza aitaka Jumuiya ya Kimataifa kuunga mkono kikamilifu juhudi za kurejesha utulivu nchini mwake
-
Tume inayosimamia matumizi ya nguvu za atomiki yaitaka Iran kuweka wazi maswala yote ya mpango wake wa Nyuklia yanayotiliwa mashaka
-
Maelfu ya wananchi wa Venezuela watumia fursa ya sherehe za kijadi kuendelea kumshinikiza rais wa nchi hiyo kujiuzulu
-
Serikali ya Uingereza yasema haitohudhuria sherehe za michuano ya paralympic mjini Sotchi kufuatia hali ilivyo nchini Ukraine
-
Mabadiliko ya tabia nchi
-
Ukatili wa kijinsia
-
Mkutano wanawake kutoka katika mataifa ya Francophonie