-
Uwanja wa ndege wa Crimea nchini Ukraine waendelea na shughuli zake licha ya taarifa za kutekwa na watu wenye silaha
-
Uganda yapuuza vitisho vya mataifa ya Magharibi baada ya kupitisha sheria kali dhidi ya ushoga
-
Mamlaka nchini Venezuela zimetoa hati ya kukamatwa kwa kiongozi wa pili wa juu wa chama cha upinzani nchini humo
-
Al Shabab yakiri kuhusika na shambulizi la bomu nchini Somalia jana Alhamisi
-
Rwanda yalaani mahakama nchini Ufaransa kukataa kuwarejesha nchini mwao watuhumiwa wa mauaji ya kimbari