-
Serikali ya Nigeria yaunda Kamati ya Kitaifa ya Majadiliano kushughulikia masuala tete ya usalama nchini humo
-
Rais wa Sudan Al Bashir akashifu maandamano yanayoendelea na kusema yanalengo la kuzorotesha uchumi
-
Waziri Mkuu wa Israel Netanyahu asema wapo tayari kusimama peke yao kuzuia utengenezaji wa silaha za nyuklia nchini Iran
-
Rais Obama asitisha ziara yake ya Malaysia ili apate muda wa kushawishi kupitishwa kwa Bajeti Mpya
-
Kundi la Wanamgambo la Al Shabab latishia kufanya mashambulizi Kenya iwapo itakaidi amri ya kuondoa Wanajeshi wao Somalia
-
Kocha Mkuu wa Nigeria Stephen Keshi asisitiza kuendelea na mkakati wake wa kujenga kikosi imara
-
Real Madrid kukosa huduma ya Mshambuliaji wake Gareth Bale kwenye mchezo dhidi ya FC Copenhagen kutokana na majeraha
-
David Moyes atetea uamuzi wake wa kubadili wachezaji kwenye kikosi cha kwanza cha Manchester United
-
Kocha wa zamani wa Manchester United Ferguson akanusha madai ya kwamba anataka kurejea kuifunza Timu hiyo
-
Mahakama ya ICC yatoa hati ya kukamatwa kwa Mkenya anayetuhumiwa kuwahonga Mashahidi ili wajitoe kwenye kesi
-
Makachero wa Kimataifa waendelea na uchunguzi wao juu ya mkasa wa kigaidi kwenye Jumba la Biashara la Westgate
-
Mazungumzo ya kusaka amani ya kudumu Mashariki mwa DR Congo yaendelea kusuasua na kitishia kuvunjika
-
Vijana na changamoto wanazokabiliana nazo katika kutimiza malengo ya milenia ya mwaka 2015