-
Kiongozi mkuu wa chama cha Muslim Biradherhood Mohamed Badie akamatwa wakati machafuko yakiendelea
-
Marekani yasema, ipo tayari kuondowa vikwazo kwa Zimbabwe iwapo rais Mugabe atafanya mabadiliko kwa mujibu wa matakwa ya wananchi
-
Chama tawala nchini Tunisia kuzungumza na vyama vya wafanyakazi kutafuta suluhu ya mgogoro ulipo nchini humo
-
Muandishi wa habari aliekuwa akifanya kazi na Edward Snowden aghadhabishwa na hatuwa ya kushikiliwa kwa zaidi ya saa tisa nchini Uingereza
-
baraza la ushirikiano la nchi za ghuba la laani vikali kauli ya kiongozi wa Hezbollah kupelekea wapiganaji zaidi nchini Syria
-
Rais wa zamani wa Pakistan Pervez Musharaf afunguliwa mashataka rasmi ya mauaji dhidi ya mwanasiasa Benazir Bhutto
-
Changamoto kwenye itifaki ya Jumuiya ya Afrika ya Mashariki
-
Wanawake waombwa kuzaa watoto wengi huko Kenya