-
Serikali ya Burundi imekuwa mstari wa mbele kulivalia njuga suala la kutoa elimu kwa watoto wa kike
-
Uchimbaji wa madini umekuwa chanzo cha uharibifu wa mazingira na kuathiri afya za Binadamu
-
Wakimbizi wa Mashariki mwa DR Congo waendelea kusumbuka juu ya hali ya usalama kuendelea kuzorota
-
Kundi la Waasi la FARC la nchini Colombia limewaua Wanajeshi 19 wa Serikali na Rais Santos ameamuru Jeshi kutositisha kuwashambulia
-
Waziri Mkuu wa Japan Abe ajiapiza kufanya mabadiliko ya kiuchumi sanjari ya kukabiliana na tatizo la ajira baada ya Chama Chake kushinda Uchaguzi
-
Naibu Waziri Mkuu wa Syria Jamil yupo nchini Urusi kufanya mazungumzo na Waziri wa Mambo ya Nje Lavrov juu ya mazungumzo ya Geneva
-
Waziri Mkuu wa Zimbabwe Tsvangirai atoa onyo kwa Tume Huru ya Uchaguzi kuhakikisha Uchaguzi unakuwa Huru na Haki
-
Umoja wa Ulaya EU walijumuisha Kundi la Hezbollah kwenye orodha ya Makundi ya Kigaidi Duniani
-
Mshindi wa Mashindano ya Golf ya Muirfield Phil Mickelson amekiri hakutarajia kama angeibuka kinara wa Taji hilo
-
Mwingereza Chris Froome ndiye Bingwa wa Mashindano ya 100 ya Tour de France akichukua taji kutoka kwa Bradley Wiggins
-
Recreativo de Libolo yaanza kwa ushindi Ligi ya Mabingwa Barani Afrika kwa kuifunga Esperance katika Kundi B
-
Kocha Mkuu wa Liverpool Brendan Rodgers akiri bado anamhitaji Luis Suarez aliyeonsha nia ya kuondoka Anfield
-
Watu 73 wapoteza maisha nchini China baada ya Jimbo la Gansu kupigwa na matetemeko mawili ya ardhi
-
Urusi yaitaka Serikali ya Syria kufanyakazi pamoja na Upinzani kuyamaliza Makundi ya Kigaidi na yale yenye Msimamo Mkali
-
Klabu ya Manchester United yatoa ofa ya kitita cha £30 milioni kwa ajili ya kumsajili Kiungo wa Barcelona Cesc Fabregas
-
Familia ya Mohamed Morsi imepanga kuchukua hatua za kisheria dhidi ya Mkuu wa Majeshi Jenerali Al Sisi kwa kumshikilia mateka Kiongozi huyo