-
Watu wanane wamepoteza maisha nchini Bangladesh baada ya moto kuzuka kwenye kiwanda cha nguo
-
Marekani yajiapiza kusimama kidete kuhakikisha amani ya kudumu inapatikana Mashariki ya Kati
-
Waathirika wa Ugonjwa wa Kipindupindu nchini Haiti kuufungulia kesi Umoja wa Mataifa UN kama utashindwa kuwalipa fidia
-
Kikosi cha Tanzania chaelekea nchini Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo DRC kulinda amani chini ya mwamvuli wa Umoja wa Mataifa UN
-
Real Madrid yasitisha sherehe za Ubingwa wa Barcelona baada ya kutoa kichapo kizito kwa Malaga
-
Mchuano wa kusaka nafasi ya kufuzu Ligi ya Mabingwa Barani Ulaya wazidi baada ya Chelsea kutoka sare na Tottenham
-
Manchester United yakanusha uvumi uliozagaa ya kwamba Wayne Rooney atauzwa mwishoni mwa msimu huu
-
Mtoto wa Waziri Mkuu wa zamani wa Pakistan Raza Gilani atekwa nyara kwenye kampeni za mwisho na watu wenye silaha
-
Marekani yasisitiza lazima Rais Assad aondoke madarakani ndiyo suluhu ya kisiasa itapatikana nchini Syria
-
Jeshi la Tanzania laelekea nchini Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo DRC kwa ajili ya kukabiliana na makundi yanayozorotesha usalama nchini humo
-
Hali ya Usalama ya Mashariki mwa DRC huku Kikosi cha Umoja wa Mataifa kikianza kuwasili Goma