-
Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa UN Ban Ki Moon akerwa na mashambulizi ya Israeli kulenga vituo vya kijeshi vya Syria
-
Upinzani wapinga matokeo ya Uchaguzi nchini Malaysia huku Waziri Mkuu Najib akiahidi kusimamia maridhiano baada ya ushindi
-
Waumini wa Kiislam 32 wapoteza maisha kwenye maandamano nchini Bangladesh wakishinikiza kupitishwa kwa Sheria ya Kukufuru
-
Watu 6 wamekamatwa wakituhumiwa kuhusika kwenye shambulizi lililotekelezwa katika Kanisa la Mtakatifu Joseph
-
Messi afunga mara mbili Barcelona ikikaribia kutwa Kombe la La Liga msimu huu dhidi ya Real Madrid
-
Juventus yatwaa Taji la 29 nchini Italia baada ya kuibuka na ushindi dhidi ya Palermo katika Ligi ya Serie A
-
Kocha wa Chelsea Rafael Benitez anaamini timu yake itafuzu kwenye Ligi ya Mabingwa Barani Ulaya msimu ujao
-
Wanamgambo waliozingira Wizara nchini Libya watangaza mpango wa kuipindua Serikali ya Waziri Mkuu Zeidan
-
Waasi nchini Syria watuhumiwa kutumia silaha zenye sumu ya sarin kwenye vita dhidi ya Majeshi ya Serikali ya Rais Assad
-
Watu wanane wamekamatwa wakituhumiwa kuhusika kwenye shambulizi lililotekelezwa katika Kanisa la Mtakatifu Joseph nchini Tanzania
-
Uvunjifu wa Haki za Binadamu umekuwa chanzo cha uwepo wa ukosefu wa demokrasia katika nchi nyingi
-
Ongezeko la Takataka kwenye Miji limekuwa likichangiwa kwa kiasi kikubwa na ukosefu wa miundombinu ya ukusanyaji wa uchafu
-
Serikali ya Tanzania yajiapiza kuwasaka waliohusika kwenye Shambulizi la Bomu katika Kanisa la Mtakatifu Joseph Mfanyakazi