-
Vikosi vya Umoja wa Mataifa nchini DRCongo vimesema havitishwi na kampeni chafu za waasi wa M23
-
Marekani yaionya Korea Kaskazini kuacha kucheza na moto
-
Waziri mkuu wa Uingereza David Cameron amsifu Margaret Thatcher kwa kuleta mabadiliko
-
Viongozi wa kundi la MRC mjini Mombasa wanaotaka mjitengo na serikali ya Kenya wanamatumaini ya kuzungumza na serikali mpya
-
Kiongozi wa kundi la Boko Haram nchini Nigeria akataa mpango wa msamaha kwa kundi lake
-
chama cha soka nchini Uingereza cha ridhia matumizi ya teknologia ya kisasa viwanjani
-
Muswada wa sheria mpya ya ndoa na talaka nchini Uganda
-
Kupelekwa kwa kikosi cha Umoja wa Mataifa kulinda amani mashariki mwa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo DRC