-
Serikali Mpya ya Nchini Jamhuri ya Afrika ya Kati imetangaza Baraza lake la Mawaziri likiwa na Mawaziri Tisa kutoka Muungano wa Seleka
-
Operesheni ya Jeshi la Ufaransa ikisaidiwa na Wanajeshi wa Ufaransa imefanikiwa kuwasambaratisha Wapiganaji wa Kiislam huko Timbuktu
-
Serikali ya Myanmar yaruhusu uchapishaji na usambazaji wa magazeti yanayomilikiwa na watu binafsi ikiwa ni miongo karibu mitatu tangu yaingie kitanzini
-
Rais wa Korea Kusini Park atangaza utayari wa nchi yake kuingia vitani dhidi ya jirani zao Korea Kaskazini baada ya kuchoshwa na vitisho vyao
-
Murray atwaa Taji la Miami Masters na kufanikiwa kushika nafasi ya Pili kwa Ubora wa Tennis Duniani upande wa Wanaume
-
Sunderland imemtangaza Paolo Di Canio kuwa Kocha Mkuu baada ya kumtimua O'Neill kufuatia kupata matokeo mabaya
-
Idadi ya watu waliopoteza maisha nchini Tanzania kufuatia kuanguka kwa Jengo la Ghorofa 16 imefikia 34
-
Hali ya Afya ya Rais wa Kwanza Mzalendo nchini Afrika Kusini Nelson Mandela yaendelea kuimarika akipatiwa matibabu
-
Kocha wa Liverpool Brendan Rodgers anajiandaa kuanzisha mazungumzo na Steven Gerrard juu ya kumuongezea mkataba
-
Waasi wa M23 Nchini Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo DRC wapinga hatua ya Umoja wa Mataifa UN kupeleka Kikosi Maalum Mashariki mwa Taifa hilo
-
Rais wa Sudan Omar Al Bashir atangaza kuwaachia huru wafungwa wote wa kisiasa wanaoshikiliwa kwenye magereza
-
Chelsea yatinga Nusu Fainali ya Kombe la FA baada ya kuiondosha Manchester United kwenye Robo Fainali
-
Vijana Barani Afrika waendelea kupambana kuhakikisha umaskini unakuwa historia kutekeleza malengo ya Milenia
-
Chanzo cha Maji Taka pamoja na athari za kimazingira katika Mataifa ya Afrika Mashariki na Kati
-
Waasi wa M23 Nchini Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo DRC wapinga hatua ya Umoja wa Mataifa UN kupeleka Kikosi Maalum Mashariki mwa Taifa hilo