-
Washia wasitisha maandamano kwa ajili ya kuzika miili ya waliopoteza maisha mwishoni mwa juma huko Quetta
-
Kiongozi wa Chama Cha Ennahda Ghannouchi kukutana na Rais Marzouki kusaka Waziri Mkuu Mpya wa Tunisia
-
Komando wa Ufaransa auawa nchini Mali huku raia saba wa taifa hilo wakitekwa nyara nchini Nigeria
-
Umoja wa Mataifa UN watoa onyo hali ya Kibinadamu nchini Syria yazidi kuwa mbaya na misaada zaidi inahitajika
-
FIFA yatangaza kuanza kutumia teknolojia ya kubaini mpira umevuka mstari wa goli kwenye Kombe la Dunia
-
Bayern Munich yaishushia kipigo kizito Arsenal huku Porto ikipata ushindi mwembamba mbele ya Malaga
-
Serikali ya Bulgaria yajiuzulu kutokana na kuendelea kwa maandamano ya kupinga Ubanaji wa Matumizi na Bei ya Umeme
-
Kiungo wa Arsenal Jack Wilshere amkingia kifua Kocha Wenger baada ya kichapo kutoka kwa Bayern Munich
-
Mahakama ya Rufaa nchini Somalia kusikiliza rufaa ya kesi ya Mwandishi wa Habari Ibrahim juma lijalo
-
Shahidi wa Kwanza wa kesi ya Mwanariadha Oscar Pistorius akiri kusikika kwa sauti kubwa kabla ya kuuwa kwa Reeva
-
Kura za maoni kueleka Uchaguzi Mkuu nchini Kenya na hatima ya siasa za Taifa hilo
-
Suluhu ya mgogoro wa DRC inaweza ikapatikana iwapo Rais Joseph Kabila na Etienne Tshisekedi watazungumza