-
Lakhdar Brahimi azitaka pande zinazohasimiana nchini Syria kuanzisha mazungumzo kumaliza umwagaji wa damu
-
Wafanyakazi wakigeni saba watekwanyara nchini Nigeria na watu wenye silaha waliofanya shambulizi Jimboni Bauchi
-
Kiongozi wa Ecuador Correa ashinda uchaguzi bna kuahidi kuendelea kulinda Mapinduzi ya Taifa hilo
-
Umoja wa Mataifa UN umelaani vikali mauaji ya Washia huko Pakistan na kutaka hatua za haraka kuchukuliwa kudhibiti
-
Manchester City na Chelsea washinda kwa ushindi mnono michezo yao ya Kombe la FA
-
Rafael Nadal ashinda Taji la kwanza katika kipindi cha miezi saba la Brazil Open
-
Kiongozi wa Venezuela Kamanda Chavez arejea nyumbani baada ya kupata matibabu ya saratani nchini Cuba
-
Roberto Mancini ajigamba kuwa Kocha Bora zaidi nchini Uingereza katika kipindi cha miezi 15 iliyopita
-
Pande zinazohasimiana nchini Syria zote zatuhumiwa kutenda Uhalifu wa Kivita dhidi ya Binadamu kwa kipindi cha miezi 23
-
Italia imeendelea kunyoshewa kidole cha lawama kwa kuwa kinara wa kufanya ukatili wa kijinsia
-
Uchimbaji wa madini umekuwa chanzo kikubwa cha uchafuzi wa mazingira Barani Afrika
-
Wizi wa fedha ambao unafanyika kwenye mabenki kwa kutumia kadi bandia za wateja