-
Rais wa Marekani Obama atangaza mwisho wa vita yao nchini Afghanistan ikiwa ni Mwaka mmoja baada ya Kifo cha Osama Bin Laden
-
Kundi la Taliban laua watu saba kwenye shambulizi la bomu huko Kabul kuadhimisha mwaka mmoja wa kifo cha Osama
-
Aung San Suu Kyi pamoja na wabunge wengine 33 wa NLD wala kiapo kuwa Wabunge nchini Myanmar
-
Waandamanaji watano wapoteza maisha nchini Misri baada ya kushambuliwa na watu wenye silaha
-
Roy Hodgson apewa mkataba wa miaka minne kuinoa Timu ya Taifa ya Uingereza
-
Mwanaharakati wa China Guangcheng aondoka Ubalozi wa Marekani baada ya kupata hifadhi kwa siku sita
-
Waandamanaji tisa wauawa nchini Misri baada ya kushambuliwa na watu wenye silaha wakiwa nje ya Wizara ya Ulinzi
-
UEFA yasema haitabadili sheria ya kadi za njano hadi baada ya miaka mitatu
-
Wanajeshi 20 wauawa na Wapiganaji wa Waasi nchini Syria baada ya kuzuka kwa mapigano
-
Waandamanaji 11 wauawa nchini Misri baada ya kushambuliwa na watu wenye silaha wakiwa nje ya Wizara ya Ulinzi
-
1 Emission en swahili 2012-05-02
-
1 Emission en swahili 2012-05-02
-
Wanajeshi watiifu kwa Rais aliyepinduliwa Nchini Mali Toure wataka kutekeleza Mapinduzi dhidi ya Utawala wa Kijeshi
-
1 Emission en swahili 2012-05-02
-
Ziara ya ghafla ya Rais Obama nchini Afghanistan na kutangaza kumaliza vita nchini humo
-
Hali ya Uchumi Duniani wakati wafanyakazi wakiadhimisha Siku ya Wafanyakazi Duniani