Pata taarifa kuu
Siha Njema

Mzigo wa matumizi ya dawa za Kulevya nchini Kenya

Imechapishwa:

Matumizi ya dawa za kulevya ,umeendelea kuwa mzigo katika mataifa mengi ,familia nyingi zikilazimika kuwapoteza jamaa zao ambao wangechangia ujenzi wa taifa

Tumbako zinazopakiwa kwa njia ya kisasa
Tumbako zinazopakiwa kwa njia ya kisasa © @NACADAKENYA
Matangazo ya kibiashara

Kwa mujibu wa shirika la afya duniani ,WHO ,kuna watu karibu milioni 40 ambao wameathirika na matumizi ya dawa za kulevya na wanaohitaji msaada wa matibabu ya kitalaam kuwarejesha katika hali zao za kawaida.

Kwenye makala haya tumezungumza na raia,watu waliotumia dawa za kulevya ,walio wahi kuuza na watalaam kuhusu swala zima la dawa za kulevya. Je ina manufaa yoyote?

Vipindi vingine
  • 09:32
  • 10:09
  • 10:14
  • 10:20
  • 08:40
Ukurasa haipatikani

Maudhui unayojaribu kuyatafuta hayapatikani kwa sasa au yamekwishaondolewa.