Shirika la umoja wa mataifa linaloratibu mikakati ya kupambana na Ukimwi ,UNAIDs limeonya kuhusu kutokuwa na usawa ulimwengu katika mapambano hayo
Matangazo ya kibiashara
Watu ambao wameishi na virusi vya HIV na kuongoza kampeni za kupigana na ugonjwa wa UKIMWI wamehofu kuwa bado unyanyapaa na ukosefu wa usawa ni tishio kubwa. Maureen Murenga ni mwanaharakati kutoka Kenya na Meja Rubaramira Rubanga anatokea Uganda