Pata taarifa kuu
Siha Njema

Waathiriwa wazungumzia unyanyapaa na ukosefu wa usawa

Imechapishwa:

Shirika la umoja wa mataifa linaloratibu mikakati ya kupambana na Ukimwi ,UNAIDs limeonya kuhusu kutokuwa na usawa ulimwengu katika mapambano hayo

HIV imeambukiza zaidi ya watu milioni 38 duniani
HIV imeambukiza zaidi ya watu milioni 38 duniani Getty Images/iStockphoto - Surasak Taykeaw
Matangazo ya kibiashara

Watu ambao wameishi na virusi vya HIV na kuongoza kampeni za kupigana na ugonjwa wa UKIMWI wamehofu kuwa bado unyanyapaa na ukosefu wa usawa ni tishio kubwa. Maureen Murenga ni mwanaharakati kutoka Kenya na Meja Rubaramira Rubanga anatokea Uganda

Vipindi vingine
  • 09:32
  • 10:09
  • 10:14
  • 10:20
  • 08:40
Ukurasa haipatikani

Maudhui unayojaribu kuyatafuta hayapatikani kwa sasa au yamekwishaondolewa.