Siha Njema
Dalili na utaratibu kuwasaidia wanaokabiliwa na matatizo ya afya ya akili
Imechapishwa:
Cheza - 10:06
Katika makala hayo ,tunatambua namna unaweza kumsaidia mapema yeyote anayesumbuka na afya ya akili
Matangazo ya kibiashara
Bara Afrika bado ina idadi kubwa ya watu wanaojitoa uhai au kusumbuliwa na matatizo ya akili. Ni muhimu basi kwa jamii kutambua baadhi ya viashiria vya mtu anayesumbuka na matatizo hayo na kuweza kumpa msaada mapema iwezekanavyo.
Mshauri nasaha Naomi Ngugi anatupa mwanga nini cha kuangalia kuweza kutambua mtu huenda ana matatizo hayo ya akili.