Tunazungumzia ugonjwa wa Ebola ambao unaendelea kuripotiwa nchini Uganda ukiwa ni mlipuko wa tano. Watu 24 wamepoteza maisha huku ugonjwa huu ukiendelea kusambaa. Aina hii ya Ebola Sudan japo haijaripotiwa kusababisha vifo vingi kwa haraka kama vile Ebola Zaire iliyokuwa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo,bado haina chanjo.Mataifa majirani kama vile Rwanda ,Tanzania na Kenya kutokana na hali hii zimeanza kuweka mikakati ya kukabiliana na hali ya dharura
Vipindi vingine
-
Mataifa ya Afrika yashinikiza mwongozo wa kukabiliana na hali ya dharura
Mataifa wanachama wa shirika la afya duniani ,WHO yanayokongamano katika kongamano la afya ya 77 jijini Geneva yanataka kuwepo mwongozo wa afya kukabiliana na hali ya dharura baada ya janga la COVID 1929/05/202409:32 -
Matatizo ya afya ya akili yasipotatuliwa huwaathiri mustakabali wa watoto
Watoto na vijana walioshuhudia dhulma , kupata kiwewe,mara nyingi wanajikuta hawaamini katika uhusiano ,huwa waathiriwa wa dhulma za kimapenzi22/05/202410:09 -
Changamoto za afya ya akili miongoni mwa watoto na vijana Afrika
Kumekuwa na ongezeko la idadi ya watoto na vijana wanaokabiliwa na changamoto za afya ya akili14/05/202410:14 -
Mimba za utotoni zaendelea kuongezeka ukanda wa Afrika Mashariki
Idadi kubwa ya wasichana wanaopata mimbo za utotoni wapo katika nchi za Afrika kwa mujibu wa shirika la afya duniani pia UNFPA08/05/202410:20 -
Methadone yatumika kuwasaidia waraibu wa dawa za kulevya kupambana na Ukimwi
Kenya imeanza kutumia Methadone kupambana na Ukimwi baada ya Tanzania07/05/202408:40