Siha Njema
Mwitikio mdogo wa matumizi ya mipira ya kondomu miongoni mwa vijana
Imechapishwa:
Cheza - 10:23
Tunaangazia sababu za kuwepo mwitiko mdogo wa matumizi ya kondomu nchini Kenye licha ya kupendekezwa kuwa mpango ambao unamlinda mtu kutokana na hatari ya kupata virusi vya HIV na magonjwa ya zinaa.