Habari RFI-Ki
Kupanda kwa bei za mafuta katika nchi za ukanda wa Afrika Mashariki
Imechapishwa:
Cheza - 09:37
Nchi za Kenya, Burundi na DRC, zimetangaza bei mpya za mafuta, wakati huu nauli za usafiri na bei ya vyakula ikiongezeka.Nchini mwako hali ikoje?Mataifa ya Afrika Mashariki yanapaswa kufanya nini ilikudhibiti bei za bidhaa?