Pata taarifa kuu
Habari RFI-Ki

Urusi kujiondoa kwenye mkataba wa kuruhusu usafirishaji wa nafaka kutoka nchini Ukraine

Imechapishwa:

Siku ya Jumatatu Urusi ilijiondoa kwenye mkataba muhimu wa kuruhusu usafirishaji  wa nafaka kutoka nchini Ukraine hadi kwenye masoko ya kimataifa, hatua inayotishia kupanda kwa bei ya bidhaa ya vyakula katika nchi zinazotegemea nafaka kutoka nchini Ukraine.

Bandari ya nafaka huko Izmail, Ukrainia, Aprili 26, 2023.
Bandari ya nafaka huko Izmail, Ukrainia, Aprili 26, 2023. AP - Andrew Kravchenko
Vipindi vingine
  • 10:03
  • 10:06
  • 10:09
  • 10:00
  • 10:13
Ukurasa haipatikani

Maudhui unayojaribu kuyatafuta hayapatikani kwa sasa au yamekwishaondolewa.