Habari RFI-Ki
Je, nini kimechangia kuongezeka kwa makundi ya kigaidi barani Afrika?
Imechapishwa:
Cheza - 10:00
Wapiganaji wa Al-Shabaab hivi karibuni wameongeza mashambulio, ambapo tukio la hivi punde likiwa nchini Kenya mnamo Juni 25 ambapo watu tano waliuawa, lengo likiwa ni kuishinikiza Nairobi kuwaondoa wanajeshi wake nchini Somalia.