Pata taarifa kuu
Habari RFI-Ki

Viongozi wa kijeshi huko Kivu kaskazini wahoji kuhusu utendakazi wa EAC

Imechapishwa:

Mwishoni mwa juma lililopita gavana wa Kivu Kaskazini Luteni jenerali Constant Ndima, alisema licha ya waasi wa M23 kutangaza kusitisha mapigano, bado waasi hao hawajaondoka katika maeneo waliokuwa wakiyadhibiti na kuhoji kuhusu utendakazi wa vikosi vya EAC. Ungana na mwandishi wetu Reuben Lukumbuka kusikiliza maoni ya wasikilizaji wetu

Wanajeshi wa Jeshi la Ulinzi la Wananchi wa Sudan Kusini (SSPDF) wakijiandaa kutumwa DRC baada ya sherehe ya kuondoka katika makao makuu ya SSPDF mjini Juba mnamo Desemba 28, 2022.
Wanajeshi wa Jeshi la Ulinzi la Wananchi wa Sudan Kusini (SSPDF) wakijiandaa kutumwa DRC baada ya sherehe ya kuondoka katika makao makuu ya SSPDF mjini Juba mnamo Desemba 28, 2022. AP - Ben Curtis
Vipindi vingine
  • 10:03
  • 10:06
  • 10:09
  • 10:00
  • 10:13
Ukurasa haipatikani

Maudhui unayojaribu kuyatafuta hayapatikani kwa sasa au yamekwishaondolewa.