Pata taarifa kuu
Habari RFI-Ki

Kuongezwa muda wa kuhudumu kwa kikosi cha EAC nchini DRC

Imechapishwa:

Kikosi cha Jumuiya ya Afrika mashariki kinachopambana na waasi wa M23 kitaendelea kuwepo 

Wanajeshi wa Kenya walio sehemu ya kikosi cha EAC kilichoko DRC
Wanajeshi wa Kenya walio sehemu ya kikosi cha EAC kilichoko DRC REUTERS - ARLETTE BASHIZI
Matangazo ya kibiashara

 

Taifa la DRC, limekubali kuongeza muda wa kuhudumu kwa wanajeshi wa Jumuiya ya Africa Mashariki nchini humo, wakati huu mauwaji zaidi ya raia yakiendelea kuripotiwa kwa  mashariki mwa taifa hilo. 

Nini maoni yako kuhusu kinachoendelea mashariki mwa DRC? 

Nini kufanyike kukomesha mauwaji haya? 

Vipindi vingine
  • 10:03
  • 10:06
  • 10:09
  • 10:00
  • 10:13
Ukurasa haipatikani

Maudhui unayojaribu kuyatafuta hayapatikani kwa sasa au yamekwishaondolewa.