Pata taarifa kuu
Habari RFI-Ki

Hatuwa ya chuo kikuu cha methodist nchini Kenya kuhusu mavazi ya wanafunzi wa chuo

Imechapishwa:

Kumeibuka hisia mseto au (Mitazamo tofauti) nchini Kenya, kuhusu Chuo Cha Methodist ambacho sasa kinawataka wanawake kutovaa nguo za kubana au zile zinazoonyesha sehemu za mwili. Tuambie, unadhani hatua hii ni sahihi hasa kwa wanafunzi wa chuo ambao ni watu wa zima ?Ni haki kuhoji watu kuhusu uhuru wa mavazi? Hapo kwenu hali iko je?

Hope Academy, kikundi cha shule za msingi na sekondari zinazoendeshwa na shirika la Kiprotestanti "Free Methodist Church" ambapo mmishonari wa Marekani, Phillys Sortor, alifanya kazi kabla ya kutekwa nyara.
Hope Academy, kikundi cha shule za msingi na sekondari zinazoendeshwa na shirika la Kiprotestanti "Free Methodist Church" ambapo mmishonari wa Marekani, Phillys Sortor, alifanya kazi kabla ya kutekwa nyara. AFP
Vipindi vingine
  • 10:03
  • 10:06
  • 10:09
  • 10:00
  • 10:13
Ukurasa haipatikani

Maudhui unayojaribu kuyatafuta hayapatikani kwa sasa au yamekwishaondolewa.