Pata taarifa kuu
Habari RFI-Ki

Kundi la M23 kuendelea kudhibiti miji ya Bunagana na Rutshuru

Imechapishwa:

 Ni Miezi miwili imepita tangu pale mji wa Bunagana nchini DRC ukaliwa na waasi wa M23, mashirika ya kiraia na mamlaka za mitaa huko Rutshuru wanasema wana wasiwasi kwamba waasi hao wanaimarisha uwepo wao katika eneo hili.Je, unadhani serikali imefanya vya kutosha kudhibiti eneo hilo?Unadhani nini Kifanyike?

"Picha ya familia" wakati wa kukamata Bunagana kati ya kanali tofauti kutoka Kivu Kaskazini kusherehekea ushindi.
"Picha ya familia" wakati wa kukamata Bunagana kati ya kanali tofauti kutoka Kivu Kaskazini kusherehekea ushindi. RFI/Léa-Lisa Westerhoff
Matangazo ya kibiashara

Usikosi kumfollow mtangazaji wako Ali bilali kwa instagram kwa kubonyeza hapa @billy_bilali

Vipindi vingine
  • 10:03
  • 10:06
  • 10:09
  • 10:00
  • 10:13
Ukurasa haipatikani

Maudhui unayojaribu kuyatafuta hayapatikani kwa sasa au yamekwishaondolewa.