Pata taarifa kuu
Habari RFI-Ki

Tume ya uchaguzi nchini Kenya kuchunguza vyeti vya Vyuo vikuu kwa wagombea

Imechapishwa:

Nchini Kenya, tume ya uchaguzi imewazuia baadhi ya vingozi kuwania nyadhifa mbalimbali za kisiasa kutokana na ukosefu wa vyeti vya vyuo vikuu. Je unadhani uongizi bora unatokana na kiongozi kuwa na cheti ?Hali nchini mwako ipo je ? Kama kawaida wiki hii utakuwa na  mtangazaji wako Reuben Lukumbuka, wa RFI Kiswahili.

Wanasiasa wa upinzani wakimsikiliza Mwenyekiti wa Tume ya Uchaguzi IEBC Wafula Chebukati Aprili 6 2017
Wanasiasa wa upinzani wakimsikiliza Mwenyekiti wa Tume ya Uchaguzi IEBC Wafula Chebukati Aprili 6 2017 IEBCKenya
Vipindi vingine
  • 10:03
  • 10:06
  • 10:09
  • 10:00
  • 10:13
Ukurasa haipatikani

Maudhui unayojaribu kuyatafuta hayapatikani kwa sasa au yamekwishaondolewa.