Habari RFI-Ki
Wakaazi wa Goma mashariki mwa DRC waukimbia mji kufuatia volkano
Imechapishwa:
Cheza - 09:50
Msikilizaji katika makala maalum ya Habari Rafiki ni kuhusu Goma mji mkuu wa mkoa wa Kivu Kaskazini, mashariki mwa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo, tuambie uko wapi na hali ikoje mahali uliko baada ya mlipuko wa mlima wa volkano Nyiragongo.Ungana na mwandishi wetu Reuben Lukumbuka, ili kusikiliza zaidi.Usisahau kutuma ujumbe wa sauti kwa namba ya WhatsApp +254110000420