Pata taarifa kuu
Habari RFI-Ki

Rais wa Tanzania Samia Suluhu Hassan kuunda jopo la kuchunguza hali ya Covid 19

Imechapishwa:

Rais wa Tanzania Samia Suluhu Hassan ,ametangaza kuundwa jopo kazi kushughulikia swala la Corona nchini humo pamoja na kuondoa vikwazo kwenye baadhi ya vyombo vya habari. Huu ni msimamo tofauti na ule wa mtangulizi wake hayati Johh Magufuli.Je una maoni yapi kuhusu mabadiliko hayo Tanzania ?

Rais wa Tanzania Samia Suluhu Hassan
Rais wa Tanzania Samia Suluhu Hassan STR AFP
Vipindi vingine
  • 10:03
  • 10:06
  • 10:09
  • 10:00
  • 10:13
Ukurasa haipatikani

Maudhui unayojaribu kuyatafuta hayapatikani kwa sasa au yamekwishaondolewa.