Afrika Ya Mashariki
Uhusiano wa raia wanaoishi mpakani mwa taifa la Burundi na Tanzania
Imechapishwa:
Cheza - 09:57
Kwenya makala haya mwandishi wetu, Juliani Rubavu, anaangazia uhusiano baina ya raia wa Tanzaniawanaoishi kwenye mpaka wa Manyovu wilayani Buhigwe mkoani Kigoma, najirani zao wa tarafa ya Mabanda mkoani Makamba, nchini Burundi.Wenyeji wa pande zote wanaeleza kuwa uhusiano wao ni mzuri nawanashirikiana kwa kila jambo.