Pata taarifa kuu
Afrika Ya Mashariki

Serikali ya Tanzania yaanzisha mpango wa kuliendeleza iliyouita "matokeo makubwa sasa"

Imechapishwa:

Mataifa mengi barani Afrika, yamekua yakiwataka raia kubadili tabia na kujikita na maendeleo endelevu. Serikali ya Tanzania, moja kati ya mataifa wanachama wa Jumuiya ya Afrika Mashariki, imepania kutekeleza mpango wake iliyouita matokeo makubwa sasa, ambapo serikali inataka kuifanya nchi kuelekea kwenye kipato cha kati, mpango huo umelenga wizara sita, ikiwemo sekta ya elimu. Tumeongea na wadau katika mpango huo.

Makala ya Afrika Mashariki, ni moja ya Makala ambayo inakukusanyia matukio na mambo mbalimbali yanayojiri kwenye ukanda, na inaruka kila siku za Jumanne jioni saa 12:20 na marudio Jumatano asubuhu saa 1:46.
Makala ya Afrika Mashariki, ni moja ya Makala ambayo inakukusanyia matukio na mambo mbalimbali yanayojiri kwenye ukanda, na inaruka kila siku za Jumanne jioni saa 12:20 na marudio Jumatano asubuhu saa 1:46. © EAC.int
Vipindi vingine
  • 09:59
  • 09:59
  • 09:59
  • 09:59
  • 09:59
Ukurasa haipatikani

Maudhui unayojaribu kuyatafuta hayapatikani kwa sasa au yamekwishaondolewa.