Habari RFI-Ki
Kujisalimisha kwa kamanda wa kijeshi wa kundi la waasi la M23, Sultani Makenga
Imechapishwa:
Cheza - 10:05
Katika Habari Rafiki hii leo tunaangazia maoni mbaalimbali yanayotolewa kufuatia hatua ya kamanda wa kijeshi wa kundi la waasi la M23 Sultani Makenga kujisalimisha kwa jeshi la Uganda UDF akiwa na wapiganaji wengine wa kundi hilo zaidi ya 1500.