Pata taarifa kuu
Habari RFI-Ki

Serikali ya Uingereza yatangaza fidia ya £19.9 milioni kuwalipa waathirika wa Vita Vya Mau Mau nchini Kenya

Imechapishwa:

Wapiganaji wa Vita vya Mau Mau nchini Kenya vilivyokwenda sanjari na harakati za kudai Uhuru nchini Kenya wapatao 5,228 hatimaye wamelipwa fidia yenye thamani ya £19.9 milioni  kutoka Serikali ya Uingereza kutokana na unyanyasi na mateso waliyokumbana nayo zaidi ya miaka 50 yaliyopita. Wapiganaji hao wa Mau Mau wamepata fidia yenye thamani ya £2600 kwa kila mmoja kutokana na kushinda kesi yao iliyokuwa inasikilizwa nchini Uingereza!!

Wapigana walioshiriki kwenye Vita vya Mau Mau nchini Kenya ikiwa ni sehemu ya harakati za kupata Uhuru kutoka kwa Uingereza
Wapigana walioshiriki kwenye Vita vya Mau Mau nchini Kenya ikiwa ni sehemu ya harakati za kupata Uhuru kutoka kwa Uingereza
Vipindi vingine
  • 10:03
  • 10:06
  • 10:09
  • 10:00
  • 10:13
Ukurasa haipatikani

Maudhui unayojaribu kuyatafuta hayapatikani kwa sasa au yamekwishaondolewa.