Pata taarifa kuu
Afrika Ya Mashariki

Athari za kutothaminiwa kwa mila na desturi za watu wa kabila la Wanyoro linalopatikana Magharibi mwa Uganda

Imechapishwa:

Mila na desturi za makabila mengi Barani Afrika kwa sasa zimeanza kukosa mashiko na hata wakati mwingine kudharauliwa kutokana na uwepo wa utandawazi!! Lakini kabila la Wanyoro linalopatikana Magharibi mwa Uganda limeendelea kusimama kidete kutetea mila na desturi zake na kutaka zitambulike kisheria pia katika katiba ya nchi!!

Makala ya Afrika Mashariki, ni moja ya Makala ambayo inakukusanyia matukio na mambo mbalimbali yanayojiri kwenye ukanda, na inaruka kila siku za Jumanne jioni saa 12:20 na marudio Jumatano asubuhu saa 1:46.
Makala ya Afrika Mashariki, ni moja ya Makala ambayo inakukusanyia matukio na mambo mbalimbali yanayojiri kwenye ukanda, na inaruka kila siku za Jumanne jioni saa 12:20 na marudio Jumatano asubuhu saa 1:46. © EAC.int
Vipindi vingine
  • 09:59
  • 09:59
  • 09:59
  • 09:59
  • 09:59
Ukurasa haipatikani

Maudhui unayojaribu kuyatafuta hayapatikani kwa sasa au yamekwishaondolewa.