Tayari wananchi wa Kenya wamechagua viongozi wa Taifa hilo katika ngazi mbalimbali na makala ya Afrika ya Mashariki juma hili tunaangazia hali ya mambo ilivyo nchini humo baada ya zoezi hilo kukamilika kwa amani na utulivu. Pia tutaangazia hatua ya muungano wa kisiasa wa CORD kutinga mahakamani kupinga matokeo yaliyompa ushindi Uhuru Muigai Kenyatta kama Rais wa nchi hiyo, karibu sana msikilizaji na Julian Rubavu atakujuza mengi zaidi katika kipindi hiki.
Vipindi vingine
-
Tanzania: Jinsi raia wanaoishi na ulemavu wanapambana kujikimu kichumi
Katika mataifa ya Afrika Mashariki, raia wengi wanaoishi na ulemavu wamekuwa wakikabiliwa na changamoto ya kujikimu kiuchumi.24/05/202409:59 -
Mafundisho potofu kutoka kwa baadhi ya viongozi wa dini Afrika Mashariki
Tunaangazia namna viongozi wa dini wamekuwa kinara katika kupambana na mafundisho potofu na kutumia mahangaiko ya waumini wao kama mtaji wa kuvuna utajiri.16/05/202409:59 -
Juhudi za kupambana na ulawiti wa watoto katika nchi za Afrika mashariki
Ulawiti ni janga linaloendelea kuwakumba watoto si tu katika mataifa ya ukanda wa Afrika mashariki bali katika mataifa mbalimbali ulimwenguni.09/05/202409:59 -
Ujumbe unaoandikwa kwenye vyombo vya usafiri katika mataifa ya Afrika
Je ujumbe unaoandikwa unahalisia na vitu vilivyowatokea makonda na madereva wa vyombo hivyo.01/05/202409:59 -
Tanzania:Juhudi za wabunifu katika kupunguza hewa ya ukaa kutunza mazingira
Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kupitia Wizara ya Masuala na Utalii, katika taarifa ya misitu na ufugaji nyuki inabainisha kuwa mkaa ni chanzo kikubwa cha nishati ya kaya katika maeneo ya mijini kwa kupikia na kupasha joto, kwa kuwa inachukuliwa kuwa ya bei nafuu na inapatikanakwaurahisi.18/04/202409:59