Siha Njema
Matumizi ya Dawa za Kulevya imekuwa chanzo cha ongezeko la magonjwa ya akili, ukimwi na hata vifo
Imechapishwa:
Cheza - 09:09
Matumizi ya Dawa za Kulevya yameendelea kuwa chanzo cha kutokea kwa magonjwa ya akili, ongezeko la waathirika wa ukimwi na hata vifo. Watumiaji wa Dawa za Kulevya wamekuwa wakikabiliwa na changamoto hizo na sasa juhudi zimeendelea kufanywa ili kuhakikisha vijana wanaokolewa na madhara ya matumizi ya dawa za kulevya!!