Pata taarifa kuu
Habari RFI-Ki

Tume Huru ya Uchaguzi na Ukaguzi wa Mipaka nchini Kenya IEBC yawahakiki wagombea tisa wa Urais kipindi hiki kampenzi zikiendelea kupamba moto

Imechapishwa:

Tume Huru ya Uchaguzi na Ukaguzi wa Mipaka IEBC imefanya uhakiki wagombea tisa wa urais ambao watachuana kwenye kinyang'anyiro kitakachofanyika tarehe 4 mwezi March huku swali kubwa ni ahadi za wanasiasa hao na kama zitatekelezwa kwa kiwango ambao wamekisema kwenye majukwaa!!

Mgombea Urais wa Muungano wa Eagle Peter Kenneth akihutubia wafuasi wake kwenye kampeni za urais
Mgombea Urais wa Muungano wa Eagle Peter Kenneth akihutubia wafuasi wake kwenye kampeni za urais
Vipindi vingine
  • 10:03
  • 10:06
  • 10:09
  • 10:00
  • 10:13
Ukurasa haipatikani

Maudhui unayojaribu kuyatafuta hayapatikani kwa sasa au yamekwishaondolewa.