Pata taarifa kuu
Habari RFI-Ki

Serikali ya Tanzania yaridhia ombi la wafanyakazi na wabunge la uwepo wa fao la kujitoa kwenye mifuko ya hifadhi ya jamii

Imechapishwa:

Baada ya wafanyakazi na baadhi ya wabunge nchini Tanzania kusema heri kufa macho kuliko kufa moyo na kuilalamikia sheria ya jamii ya mwaka 2012 inayozuia mwanachama kujitoa kwenye mfuko wa hifadhi ya jamii. Jitihada zao zimezaa matunda baada ya serikali kuridhia wafanyakazi kujitoa kwenye mifuko hiyo na kupewa mafao yao kama ilivyokuwa awali.

Wabunge nchini Tanzania wakiwa Bungeni wao walikuwa ni miongoni mwa wale walioshinikiza kuruhusiwa uwepo wa fao la kujitoa kwenye mashirika ya hifadhi za jamii
Wabunge nchini Tanzania wakiwa Bungeni wao walikuwa ni miongoni mwa wale walioshinikiza kuruhusiwa uwepo wa fao la kujitoa kwenye mashirika ya hifadhi za jamii
Vipindi vingine
  • 10:03
  • 10:06
  • 10:09
  • 10:00
  • 10:13
Ukurasa haipatikani

Maudhui unayojaribu kuyatafuta hayapatikani kwa sasa au yamekwishaondolewa.