Afrika Ya Mashariki
Ukeketaji kwa watoto wa kike nchini Kenya pamoja na matatizo kama hayo nchini Uganda na Tanzania
Imechapishwa:
Cheza - 09:10
Makala ya Afrika Ya Mashariki leo inaangazia vitendo haramu vya ukeketaji watoto wa kike nchini Kenya. Msikilizaji ataendelea kusikiliza makala zijazo juu ya ukeketaji Kenya na Tanzania; na changamoto nyingine kwas wananchi wa Kenya, Uganda na Tanzania.