Pata taarifa kuu
Habari RFI-Ki

Siku ya Walimu Duniani na changamoto zinazowakabili katika eneo la Ukanda wa Afrika Mashariki

Imechapishwa:

Makala ya Habari Rafiki inazungumzia changamoto wanazokabiliana nazo walimu katika siku kama hii ambapo wanaadhimisha siku ya walimu duniani. Wachambuzi wa mambo ya kijamii wamebaini kiwango cha elimu kimeshuka tofauti na ilivyokuwa katika miaka ya nyuma.

Wanafunzi wakiwa darasani licha ya kuendelea kukosa vifaa muhimu ambavyo vinastahili kutumika kufundishia
Wanafunzi wakiwa darasani licha ya kuendelea kukosa vifaa muhimu ambavyo vinastahili kutumika kufundishia
Vipindi vingine
  • 10:03
  • 10:06
  • 10:09
  • 10:00
  • 10:13
Ukurasa haipatikani

Maudhui unayojaribu kuyatafuta hayapatikani kwa sasa au yamekwishaondolewa.