Rais wa Sudan Kusini Salva Kiir na hasimu wake ambaye ni kiongozi wa waasi Riek Machar, wametia saini mkataba wa kusitisha vita kabisa katika nchi yao kwa muda wa saa 72 zijazo. Viongozi hao wamekuwa wakikutana jijini Khartoum nchini Sudan. Je, unaamini kuwa wakati huu mkataba huu utaheshimiwa na amani ya kudumu itarejea nchini Sudan Kusini ?
Vipindi vingine
-
Maoni ya waskilizaji kuhusu mafuriko yanayo zikumba nchi za Afrika mashariki
Mafuriko yanashuhudiwa kwenye nchi za Afrika Mashariki, mamia ya watu wakiripotiwa kufariki, nyumba na miundombinu ikiharibiwa.Nchi za Kenya na Tanzania zimeathirika pakubwa na mafuriko haya. Unazungumziaje miakakati inayochukuliwa kuzuia madhara zaidi?Hali ikoje nchini mwako?Unachukua tahadhari zipi binafsi kujilinda?07/05/202410:03 -
10:06
-
10:09
-
Ushirikiano wa Afrika na benki ya Dunia pamoja na masharti magumu ya mikopo
Viongozi wa Afrika wamekutana Nairobi kujadili ushirikiano zaidi na benki ya dunia30/04/202410:00 -
Mafuriko yanavyoendelea kuutesa ukanda wa Afrika Mashariki
Ukanda wa Afrika ya mashariki na Pembe ya Afrika unaendelea kupokea mvua kubwa30/04/202410:13