Habari RFI-Ki
Changamoto ya kuvuja mitihani ya kitaifa yashughulikiwa Kenya,Tanzania
Imechapishwa:
Cheza - 10:07
Karibu katika makala ya habari rafiki,tunaangazia mafanikio yaliyopigwa katika kuzuia kuvuja kwa mitihani Afrika mashariki wakati huu ambapo wanafunzi wa sekondari Tanzania na shule ya msingi nchini Kenya wakifanya mitihani yao.