Serikali ya Jamuhuri wa Mungano wa Tanzania kupitia Ofisi ya Taifa ya Takwimu imezindua rasmi matokeo ya Sensa ya Watu wanaosihi na ulemavu nchini.Takwimu hizo zimeonesha mkoa wa mara ndio unaogoza kwa kuwa na watu wengi ambao wa ulemavu,je watu wanaoishi na ulemavu wanazungumziaje twakimu hizo.Kipindi chetu cha habari Rafiki kinatupia jicho juu ya takwimu hizo na mchango wa takwimu hizo katika mipango kazi ya serikali na maendeleo kwa jumla
Vipindi vingine
-
Maoni ya waskilizaji kuhusu mafuriko yanayo zikumba nchi za Afrika mashariki
Mafuriko yanashuhudiwa kwenye nchi za Afrika Mashariki, mamia ya watu wakiripotiwa kufariki, nyumba na miundombinu ikiharibiwa.Nchi za Kenya na Tanzania zimeathirika pakubwa na mafuriko haya. Unazungumziaje miakakati inayochukuliwa kuzuia madhara zaidi?Hali ikoje nchini mwako?Unachukua tahadhari zipi binafsi kujilinda?07/05/202410:03 -
10:06
-
10:09
-
Ushirikiano wa Afrika na benki ya Dunia pamoja na masharti magumu ya mikopo
Viongozi wa Afrika wamekutana Nairobi kujadili ushirikiano zaidi na benki ya dunia30/04/202410:00 -
Mafuriko yanavyoendelea kuutesa ukanda wa Afrika Mashariki
Ukanda wa Afrika ya mashariki na Pembe ya Afrika unaendelea kupokea mvua kubwa30/04/202410:13