Pata taarifa kuu
Habari RFI-Ki

Ziara ya Kwanza ya Raisi John Pombe Magufuli Nchini Rwanda

Imechapishwa:

Rais Tanzania John Magufuli yuko ziarani nchini Rwanda kukutana na mwenyeji wake Paul Kagame.Katika ziara hiyo, marais hao watafungua daraja la Rusumo linalounganisha nchi hizo mbili.Magufuli pia atahudhuria madhimisho ya kumbukumbu ya mauaji ya kimbari ya mwaka 1994Kipindi cha Habri Rafiki Kinatupia Jicho Juu ya Ziara hiyo ya kwanza nje ya nchi ya  Raisi Magufuli

Rais wa Tanzania John Pombe Magufuli na mwenyeji wake wa Rwanda Paul Kagame katika uzinduzi wa daraja la Rusumo.
Rais wa Tanzania John Pombe Magufuli na mwenyeji wake wa Rwanda Paul Kagame katika uzinduzi wa daraja la Rusumo.
Vipindi vingine
  • 10:03
  • 10:06
  • 10:09
  • 10:00
  • 10:13
Ukurasa haipatikani

Maudhui unayojaribu kuyatafuta hayapatikani kwa sasa au yamekwishaondolewa.