Afrika Ya Mashariki
Maendeleo endelevu katika Jumuiya ya Afrika Mashariki
Imechapishwa:
Cheza - 09:31
Kwenye makala ya afrika ya mashariki leo tunaangazia juu ya changamotoza Utawala bora na haki za binadamu kwenye Jumuiya ya Afrika Mashariki. Bunge la Afrika Mashariki limedhamiria kuhakikisha raiawa jumuiya hiyo wanapata maendeleo endelevu kupitia utawala bora nahaki za binadamu.