Makala haya “Afrika ya Mashariki”, yanaangazia juu ya changa moto za siasa na kijamii katika ukanda wa maziwa makuu, sehemu hii ya kwanza “Afrika Mashariki”, yanaangazia juu ya sababu za raia wa Congo kutoka jamii ya Banyamulenge kwa miaka mingi kukabiliwa na changa moto ya kutoaminiwa na raia kutoka jamii zingine nchini Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo. Ungana na Julian Rubavu.........................
Vipindi vingine
-
Tanzania: Jinsi raia wanaoishi na ulemavu wanapambana kujikimu kichumi
Katika mataifa ya Afrika Mashariki, raia wengi wanaoishi na ulemavu wamekuwa wakikabiliwa na changamoto ya kujikimu kiuchumi.24/05/202409:59 -
Mafundisho potofu kutoka kwa baadhi ya viongozi wa dini Afrika Mashariki
Tunaangazia namna viongozi wa dini wamekuwa kinara katika kupambana na mafundisho potofu na kutumia mahangaiko ya waumini wao kama mtaji wa kuvuna utajiri.16/05/202409:59 -
Juhudi za kupambana na ulawiti wa watoto katika nchi za Afrika mashariki
Ulawiti ni janga linaloendelea kuwakumba watoto si tu katika mataifa ya ukanda wa Afrika mashariki bali katika mataifa mbalimbali ulimwenguni.09/05/202409:59 -
Ujumbe unaoandikwa kwenye vyombo vya usafiri katika mataifa ya Afrika
Je ujumbe unaoandikwa unahalisia na vitu vilivyowatokea makonda na madereva wa vyombo hivyo.01/05/202409:59 -
Tanzania:Juhudi za wabunifu katika kupunguza hewa ya ukaa kutunza mazingira
Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kupitia Wizara ya Masuala na Utalii, katika taarifa ya misitu na ufugaji nyuki inabainisha kuwa mkaa ni chanzo kikubwa cha nishati ya kaya katika maeneo ya mijini kwa kupikia na kupasha joto, kwa kuwa inachukuliwa kuwa ya bei nafuu na inapatikanakwaurahisi.18/04/202409:59