Pata taarifa kuu
Habari RFI-Ki

Lugha mama mshuleni nchini Kenya

Imechapishwa:

Wizara ya kenya imependekeza kuwa wanafuzi wa darasa la kwanza hadi la nne nchini humo watafunzwa kwa lugha za mama au za kikabila wakiwa mashuleni, pendekezo hili limezua mjadala mkubwa nchini humo. Hili ndio tunakuwa tukijadili katika kipindi chetu cha “Habari Rafiki” kwa leo.Ungana na Ebby Shabani Abdallah....... 

Wanafunzi wakiwa darasani nchini Kenya
Wanafunzi wakiwa darasani nchini Kenya RFI
Vipindi vingine
  • 10:03
  • 10:06
  • 10:09
  • 10:00
  • 10:13
Ukurasa haipatikani

Maudhui unayojaribu kuyatafuta hayapatikani kwa sasa au yamekwishaondolewa.