Pata taarifa kuu
Habari RFI-Ki

Maoni ya wananchi kuhusu kutotiwa saini mkataba wa amani mjini Kampala

Imechapishwa:

Mtangazaji wa makala haya, hii leo amezungumza na wananchi wa Afrika Mashariki na kati kutaka kupata maoni yao kuhusu kushindikana kutiwa saini kwa mkataba wa amani kati ya kundi la waasi wa M23 na Serikali ya DRC.

Waziri wa mambo ya nje wa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo, DRC, Raymond Tshibanda
Waziri wa mambo ya nje wa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo, DRC, Raymond Tshibanda Reuters
Vipindi vingine
  • 10:03
  • 10:06
  • 10:09
  • 10:00
  • 10:13
Ukurasa haipatikani

Maudhui unayojaribu kuyatafuta hayapatikani kwa sasa au yamekwishaondolewa.