Pata taarifa kuu
Habari RFI-Ki

Muswada wa sheria ya Ndoa nchini Kenya, je ukitoa ahadi ya kuoa na usipooa ushtakiwe?

Imechapishwa:

Mtangazaji wa makala haya, hii leo ameangazia muswada wa ndoa uliowasilishwa kwenye bunge la Kenya, ambapo moja ya kipengele kinasema iwapo mtu atamuahidi mwenzake kumuoa na asipotekeleza mmoja anaweza kwenda mahakamani kufungua kesi.Wananchi wa Kenya wanasemaje kuhusu sheria hii?

RFI
Vipindi vingine
  • 10:03
  • 10:06
  • 10:09
  • 10:00
  • 10:13
Ukurasa haipatikani

Maudhui unayojaribu kuyatafuta hayapatikani kwa sasa au yamekwishaondolewa.