Habari RFI-Ki
Ripoti mpya kuhusu rushwa yaonyesha mataifa ya Ulaya kukithiri kwa rushwa
Imechapishwa:
Cheza - 08:56
Mtangazaji wa makala haya hii leo ameangazia ripoti ya mwaka 2012 ya shirika la Transparency International kuhusu masuala ya rushwa ambapo imeitaja nchi ya Ugiriki kuwa kinara kwenye Umoja wa Ulaya kwa kukithiri kwa vitendo vya rushwa.